Roma wa K vs Roma wa mathematics

GREAT NAME

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2016
Posts
1,078
Reaction score
1,718
Roma enzi zile mr presdent,pastor na nyingine na huyu wa KIWALANI K yupi unamkubali
 
Roma enzi zile mr presdent,pastor na nyingine na huyu wa KIWALANI K yupi unamkubali

Ukiona msanii anaanza kuimba matusi ujue analazimisha kurudi..tatizo hajasoma alama za nyakati ..kipindi kigumu kama hiki watu hawataki kusikia vitu vya ajabu ajabu ndio maana kina darasa wamepokelewa vizuri tu..sasa yeye mwache atukane ataishia kuisikiliza nyimbo yake kijiweni tu..watu wanataka maisha na muziki sio maisha na matusi...
 
Roma alitisha enzi za president na ile ya mwanzo aliyo mshirikisha Jos Mtambo! K ni nyimbo ya kikuda
 

Roma kamtukana nani??
 
nadhani nae,kajawa na hofu kipindi hiki...ukijaribu kuskiza nyimbo zake za zamani alikuwa mweny kujiamini na wasanii walikuwa huru sana ila kipind hiki kuna mambo mengi ya kuimba ila hata hajaimba.lada anasoma upepo kwanza
 
Roma aligundua tumeshachoka magazeti yake kasoma alama za nyakati muache aimbe ukuda ndo safi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…