ndo maana naona pamejaa kumbe wwnakava nafasi kwanza halafu narudi juu kuisoma mada kwa utulivu.
Waow im humble the boldUsihofu oligarch
We nawe khaaa
Mpaka unakitupa sio!Story inasisimua
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], kumbe unakataa siufungui tena, ata m umeznguaHuu Uzi umekua kama nyara za serikali.ukifanikiwa kuufungua unashukuru Mungu
Dah the bold umejua kutukamata ww nasubr sehem ya nneMa-oligarch wenzangu,
Nimechelewa kidogo kuweka sehemu ya nne... naomba niweke kesho mchana tafadhali.
Ni ujinga mkubwa kuweka li thread ambalo unajua halifungukiThread haifunguki hii