Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Mi naona zimeishia 12 nafanyaje kuzipata ,copy linki uniwekee hapo niteleze nayo
12 ni page, post number ni namba inayopewa kila bandiko linalowekwa humu na member yeyote kwenye uzi wowote.
Mara nyingi namba hii uwekwa kulia kabisa mwishoni mwa kila bandiko na uandikwa hivi, mfano, #123
 
Mnaolalamika thread haifunguki mbona mm nipo huku Nanjilinji Network inasoma E lakuni inafunguka utamu tu
 
Mnaolalamika thread haifunguki mbona mm nipo huku Nanjilinji Network inasoma E lakuni inafunguka utamu tu
Kweli haifunguki. Na ikifunguka inachukua muda mrefu. Nikadhani ni kwangu tu. Kumbe kuna malalamiko!
 
.[emoji106]
 
Toyota Hiace
5L engine
Bei: Milioni 35
Mawasiliano:0658124554

Kuna gari unahitaji au unayo gari unauza wasiliana nasi tulipatie ufumbuzi hitaji lakoView attachment 1179043View attachment 1179044View attachment 1179045View attachment 1179046


Mkuu hapa ni JI....matangazo ya biashara peleka kwenye jukwaa la matangazo boss

link hii hapa

 
Mkuu hapa ni JI....matangazo ya biashara peleka kwenye jukwaa la matangazo boss
Jamaa katumia fursa kaangalia Thread yenye Viewers wengi katupia Tangazo hopefully JF waangalie hiyo issue in business Wise MwanaJF atakaye anzisha Thread itakayokuwa na Viewers wengi wanaweka Ads kwenye hiyo Thread na mtoa Mada anafaidika na chochote
 
Huu uzi mbonq unasumbua ivi nini tatizo wananzengo mimi nimeshidwa kuufatilia sehem ya 2 nakuendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…