Huu uzi mbonq unasumbua ivi nini tatizo wananzengo mimi nimeshidwa kuufatilia sehem ya 2 nakuendelea
Huu uzi mbonq unasumbua ivi nini tatizo wananzengo mimi nimeshidwa kuufatilia sehem ya 2 nakuendelea
IKUMBUKWE TVAnatumia jina gani la akaunti huko you tube ? maana kuna akaunt jna nmelisahau ina post makala za mkuu the bold
Mkuu mbona unaingiza matangazo tena ? Unaharibu thread za watu..!! Ona sasa chrome inagoma ku respondToyota Hiace
5L engine
Bei: Milioni 35
Mawasiliano:0658124554
Kuna gari unahitaji au unayo gari unauza wasiliana nasi tulipatie ufumbuzi hitaji lakoView attachment 1179043View attachment 1179044View attachment 1179045View attachment 1179046
Shemeji nimekutag lakini hahaha... habari za masiku tele shemeji..
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Hapo unajiona unajua kujiongezaa!! kumbe shobo tuu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nangalia notification kwenye simu naona ya JF imetokea Vidmate nikaona ebwana eeh vidmate inaleta notificaton za jf zikuizi naingia kumbe mtu bana.Sehemu ya 4 ikitoka wadau mnitag, mkuu Habibu B. Anga itapendeza walau uwe unaweka post namba fulani ina mwendelezo pale kwenye page ya kwanza kk inachosha kupitia kila page kutafuta mwendelezo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nangalia notification kwenye simu naona ya JF imetokea Vidmate nikaona ebwana eeh vidmate inaleta notificaton za jf zikuizi naingia kumbe mtu bana.
Hii sehemu ya nne haikuji tuu!!!? Long waiting