Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Nakuomba unikumbuke Boss,naomba uni-tag!
 
Bila shaka oligarch... nakuongeza kwente taglist.
And sehemu ya nne tayari, cheki post #298
SUBIRA....SUBIRA...SUBIRA..hii kitu wengi wetu hatunacho..naona Oligarch Habibu B. Anga anatufundisha mdogomdogo kuwa na subira....mkuu naomba na mm uni-add kwenye taglist yako maana si kwa kuchungulia huku kila baada ya dk 5.
 
Unaonaje huu umoja tungefungua ka-saccos ketu...na jinsi jiwe anavyobana kangetusaidiapo eti? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Sisi maorligach bwana....saccos kitu gani...tufukuzie kuanzisha The Families....😀😛😀😛😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…