Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
- Thread starter
-
- #321
Haya ndiyo madini yenyewe ya kusoma,, siyo kama wale wa love story et mara Asha kabenua mgongo, mara alitaka kuchuma mchicha ___________________
Nilikuwa sijui utajiri wa huyu jamaa kaupataje zaidi ya mashabiki wa Chelsea kumshabikia boss wao kwamba anahela$€€€€_________
Usisahau kunitag mkulu+++
Ni heshima kwangu kuitwa kwenye mambo mazuri kama haya, natanguliza shukrani zangu za dhati kwako🙏🙏🙏Tayari oligarch
Mkuu sehemu ya pili naipataje
Pamoja sana chiefShukrani sana
Mkuu Habibu B. Anga Eid Njema kaka عيد مبارك لكم ولعائلاتكم
Eid Mubarak "The family" wote mliopo humu ndani!
May Allah keep blessing you!!
Muendelezo bado ya sehem ya nne
Ukiweka episode 4 nitag mkuu Habibu B. Anga
naaam mkuuKama kawaida mzee... naona bado unakimbiza siti ya kwanza
Hahahaha eti mshakuwa Ma. Oligarch
Naomba unitag pindi ukipakua
sasa mkuu tag muhimu next time
Inner circler hanga, usiache kunitag ikipakua episode ya nne
Tunaisubilia sehemu ya nne leo mchana
Na mimi naomba Tag
Safi sana Sir Bold
Kuna watu wana macho yakuona vitu ambavyo wengine hatuvioni..kuna watu pia unaweza sema wana akili ya ziada..Mkuu Habibu B. Anga niseme tu ahsante kwa bandiko hili..
Uzi haufunguki sehem ya pili kwenye app na browserView attachment 1179127
Na mimi nitag. Nimependa stori