Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Ha ha ha amewafanya misukule wake, mnashinda kusubiri hadithi za kutungwa kwan hamna kazi zingine za kufanya.

Nyie ndio mnaofanya akina bashite wajiamin wakijua lazma 2020 warudi kutawala.idiot!!!!

Hata na wewe ni msukule umejuaje wameshinda wakisubiria hadithi za kutungwa kama wewe hufungui hii thread kila baada ya dk 5 na kusoma comments za wadau kuhusu kusubiria? Na ulijuaje ni hadithi ya kutunga kama hujaisoma?..Kubali tu kuwa na wewe ni sehemu ya misukule kama unavyowaita wenzako...

Akina bashite??Ebu tusaidie angalau kuanzisha vuguvugu la kumng'oa jiwe maana akishaondoka ndo utakuwa mwisho wa bashite...Ebu tusaidie mkuu na sisi tutakuunga mkono maana lazima tuwe na kiongozi..Ongoza hilo vuguvugu hata sisi akina bashite wanatukera sana ila tumekosa tu mtu mwenye uthubutu kama wewe...Tunakuomba uwe MUSA wetu....anza kesho kuita waandishi wa habari na umnyee jiwe na genge lake mwanzo mwisho uone jinsi tutakavyokuunga mkono..
 
Ha ha ha amewafanya misukule wake, mnashinda kusubiri hadithi za kutungwa kwan hamna kazi zingine za kufanya.

Nyie ndio mnaofanya akina bashite wajiamin wakijua lazma 2020 warudi kutawala.idiot!!!!
Hemu tunga na ww yakwako tuisome
 

Hizi sehemu zingine ungetupia Links zake hapa urahisishe kuzipata Mkuu

SEHEMU YA PILI IKO POST #58


SEHEMU YA TATU IKO POST #151


SEHEMU YA NNE IKO POST #298
 
Wengi tunaakili (na mimi nikiwemo) lkn,tunakosa-connection!
Kukosa connection ndio kukosa akili mkuu boss wa chelsea connection katengeneza mwenyewe declare of interests mimi ujoka sina akili hata moja kwanilioyaona humu na kutokujua hauna akili ndio mwanzo wa akili maana hakuna utumwa mbaya kama wa kujiona uko huru utumwani utakua hutoroki
 
Yaani dogo kazaliwa na kukulia kwenye nchi ya kijamaa, nchi hiyo ya kijamaa inabadirika na kua ya kibepari then dogo huyo huyo ambaye hata shule yake ni ya kuunga unga anageuka na kuujua ubepari hadi kumzidi akili rais; very genius, akili kubwa sana hi. Haya ndio madini sasa, naanza kuelewa ni kwanini kina RA huaga wala hawafikirii kuwa mawaziri na aliuachia ubunge kama mtu mwenye hela anavyo weza kuahirisha safari kwenye basi A ilihali na nauli kalipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…