Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Naona unampambanisha mwenzio na wasiojulikana ili wamfanye dhafu ya zirael
 
Bila kunisahau mimi kwenye tag zako,manake stori kama hizi nazitumiaga sana kwenye mass nikiwa na washikaji wasiopenda kusoma soma basi wananiona bonge la encyclopedia kumbe Zee la kudesa Kwa the Bold na kina Mshana Jr hahahahaha
 
Ma-Oligarch wenzangu mnisamehe bure mkiona niko kimya, kuna muda natamani niweke updates ila nashindwa kutokana na mihangaiko… waweza kuni-support pia kwa kuungana nami Whatsapp
Huu ujumbe ndo pekee niliouelewa
Mkuu pole na mihangaiko, tunasubiri sehemu ya sita.
 
kama Russia kuna king makers,huku kwetu mikelele haitatusaidia kitu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…