TANZANIA PATRIOT
Member
- Jul 2, 2019
- 32
- 43
Romy Jones, binamu wa mwanamuziki Diamond Platnumz amezua maswali mtandaoni baada ya kusema ndugu yake huyo ana watoto watano badala ya wanne wanaotambulika na maelfu ya mashabiki zake jambo ambalo limezua gumzo katika mitandao ya kijamii.
Alitoa kauli hiyo baada ya mpenzi wa mwanamuziki huyo, Tanasha Donna kujifungua mtoto wa kiume.
Alitoa kauli hiyo baada ya mpenzi wa mwanamuziki huyo, Tanasha Donna kujifungua mtoto wa kiume.