rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,020
- 3,309
Leo tuambine kati ya ronadihno gaucho na jay jay okocha na alikuwa fund wa kuchezea mpira?????
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili swali mie huwa nasema ni wote wapo sawa.Leo tuambine kati ya ronadihno gaucho na jay jay okocha na alikuwa fund wa kuchezea mpira?????
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha chief hata PSG aliyochezea Okocha siyo PSG ya leo.Waafrika huwa tunamtetea okocha sababu ni mwenzetu! Ni kweli inawezekana okocha alikuwa na kipaji zaidi ya ronaldinho lakini alikosa vitu basic ambavyo ndio vilimuangusha!
Hata dinho mwenyewe ashawahi kusema okocha ndio namba 10 aliyokuwa anaipenda zaidi!
Sasa tujiulize zaidi ya psg, kwanini alishindwa kucheza timu kubwa akiwa katika ubora wake, madrid,barcelona,Liverpool,man u, ac milan, Juventus, intermilan, arsenal, Bayern Munich basi hata dortmund, valencia, chelsea, roma za kipindi hiko angecheza, ina maana hawa woote hawakuona ubora wake, mwishowe akaangukia bolton, Hull City huko.
Kuna kitu okocha alikosa msingi wa mpira, alikuwa fundi saana, ila wakati mwingine alikuwa anafosi mambo haya majanga naona hata kwa wachezaji wetu kina ajibu huku, kila muda anafosi kupiga outer, au ndemla kujipigia mashuti hovyo sababu ndio mashabiki wanaochomsifia! Anapiga auta hata kama sio ya lazima, wakati mwingine anapiteza mpira bure.
Ndio okocha wakati mwingine sehemu ya kuachia moja, atalazimisha kupiga ile chenga yake maarufu ya kutengua mtu nyonga mienapenda kuiita okocha feint! Sehemu ya kufanya kitu chepesi anafosi kufanya makubwa mwishowe anapoteza mpira ama anauwa move ya kwenda kushamubulia, ama anachelewesha mashambulizi. Na hivi alikuwa na nguvu za kupiga miguu yote ndio wakti mwingine anajipigia pigia tu hovyo. Sisemi alikuwa hapatii sometimes alikuwa anapatia na kufanya mazuri.
Tofauti na gaucho, gaucho alikuwa anafanya burudani zake bila kuharibu mipango ya timu, atapiga no look pasi ambayo ni hatari hata wapinzani hawakutegemea kama pasi itapiga huko! Atapiga vibaiskel kwenye motion, ataachi mali kwa wakati wa hatari zaidi langoni mwa mpinzani. Sisemi alikuwa hakosei ni kawaida kukosea kwa mwanadamu yoyote yule.
Kwangu nitasema ronaldinho gaucho.
Hahaa!! Atleast psg kule kwao ilikuwa kubwa kubwa kidogoHahaha chief hata PSG aliyochezea Okocha siyo PSG ya leo.
Okocha alikua anachezea mpira ila uchezeaji wake ulikua hauna mchango katika timu kushinda au yeye kuscore, naamini ndiyo maana timu kubwa hazikuwahi kumtaka kwa sababu walijua ni mchezaji ambaye atapozesha mashambulizi wakati timu inataka ushindi.
Angalia hata highlights zake, unaona kabis timu ipo kwenye movement mpira ukifika kwake unapoa, ukishapoa ananyang'anywa na movement ya goli inakufa.
Binafsi namfananisha Okocha na Allan St Maximin wa New Castle, anapenda kuchezea mpira bila kujua anaiziba timu kushinda. Na hua hawajali kama timu inaongozwa au inahitaji ushindi.
Timu yangu Arsenal ilikua na Iwobi mwenye huu mtindo na sasa hivi ina Pepe.
Gaucho ni bora sana.
Umeelewa swali lakini?Waafrika huwa tunamtetea okocha sababu ni mwenzetu! Ni kweli inawezekana okocha alikuwa na kipaji zaidi ya ronaldinho lakini alikosa vitu basic ambavyo ndio vilimuangusha!
Hata dinho mwenyewe ashawahi kusema okocha ndio namba 10 aliyokuwa anaipenda zaidi!
Sasa tujiulize zaidi ya psg, kwanini alishindwa kucheza timu kubwa akiwa katika ubora wake, madrid,barcelona,Liverpool,man u, ac milan, Juventus, intermilan, arsenal, Bayern Munich basi hata dortmund, valencia, chelsea, roma za kipindi hiko angecheza, ina maana hawa woote hawakuona ubora wake, mwishowe akaangukia bolton, Hull City huko.
Kuna kitu okocha alikosa msingi wa mpira, alikuwa fundi saana, ila wakati mwingine alikuwa anafosi mambo haya majanga naona hata kwa wachezaji wetu kina ajibu huku, kila muda anafosi kupiga outer, au ndemla kujipigia mashuti hovyo sababu ndio mashabiki wanaochomsifia! Anapiga auta hata kama sio ya lazima, wakati mwingine anapiteza mpira bure.
Ndio okocha wakati mwingine sehemu ya kuachia moja, atalazimisha kupiga ile chenga yake maarufu ya kutengua mtu nyonga mienapenda kuiita okocha feint! Sehemu ya kufanya kitu chepesi anafosi kufanya makubwa mwishowe anapoteza mpira ama anauwa move ya kwenda kushamubulia, ama anachelewesha mashambulizi. Na hivi alikuwa na nguvu za kupiga miguu yote ndio wakti mwingine anajipigia pigia tu hovyo. Sisemi alikuwa hapatii sometimes alikuwa anapatia na kufanya mazuri.
Tofauti na gaucho, gaucho alikuwa anafanya burudani zake bila kuharibu mipango ya timu, atapiga no look pasi ambayo ni hatari hata wapinzani hawakutegemea kama pasi itapiga huko! Atapiga vibaiskel kwenye motion, ataachi mali kwa wakati wa hatari zaidi langoni mwa mpinzani. Sisemi alikuwa hakosei ni kawaida kukosea kwa mwanadamu yoyote yule.
Kwangu nitasema ronaldinho gaucho.
umechambua vema saana mkuuWaafrika huwa tunamtetea okocha sababu ni mwenzetu! Ni kweli inawezekana okocha alikuwa na kipaji zaidi ya ronaldinho lakini alikosa vitu basic ambavyo ndio vilimuangusha!
Hata dinho mwenyewe ashawahi kusema okocha ndio namba 10 aliyokuwa anaipenda zaidi!
Sasa tujiulize zaidi ya psg, kwanini alishindwa kucheza timu kubwa akiwa katika ubora wake, madrid,barcelona,Liverpool,man u, ac milan, Juventus, intermilan, arsenal, Bayern Munich basi hata dortmund, valencia, chelsea, roma za kipindi hiko angecheza, ina maana hawa woote hawakuona ubora wake, mwishowe akaangukia bolton, Hull City huko.
Kuna kitu okocha alikosa msingi wa mpira, alikuwa fundi saana, ila wakati mwingine alikuwa anafosi mambo haya majanga naona hata kwa wachezaji wetu kina ajibu huku, kila muda anafosi kupiga outer, au ndemla kujipigia mashuti hovyo sababu ndio mashabiki wanaochomsifia! Anapiga auta hata kama sio ya lazima, wakati mwingine anapiteza mpira bure.
Ndio okocha wakati mwingine sehemu ya kuachia moja, atalazimisha kupiga ile chenga yake maarufu ya kutengua mtu nyonga mienapenda kuiita okocha feint! Sehemu ya kufanya kitu chepesi anafosi kufanya makubwa mwishowe anapoteza mpira ama anauwa move ya kwenda kushamubulia, ama anachelewesha mashambulizi. Na hivi alikuwa na nguvu za kupiga miguu yote ndio wakti mwingine anajipigia pigia tu hovyo. Sisemi alikuwa hapatii sometimes alikuwa anapatia na kufanya mazuri.
Tofauti na gaucho, gaucho alikuwa anafanya burudani zake bila kuharibu mipango ya timu, atapiga no look pasi ambayo ni hatari hata wapinzani hawakutegemea kama pasi itapiga huko! Atapiga vibaiskel kwenye motion, ataachi mali kwa wakati wa hatari zaidi langoni mwa mpinzani. Sisemi alikuwa hakosei ni kawaida kukosea kwa mwanadamu yoyote yule.
Kwangu nitasema ronaldinho gaucho.
Umeelewa swali lakini?
Nani alikuwa fundi wa kuchezea mpira?
Hapa umechambua kama vile swali limetaka nani alikuwa hatari zaidi kwa wapinzani.
Sent using Jamii Forums mobile app
umechambua vema saana mkuu
Swala Ni Nani alikua anajua kuuchezea Mpira. Sasa kama kuuchezea huko Kuna mchango ama hapana tutajadili siku ingine.Hahaha chief hata PSG aliyochezea Okocha siyo PSG ya leo.
Okocha alikua anachezea mpira ila uchezeaji wake ulikua hauna mchango katika timu kushinda au yeye kuscore, naamini ndiyo maana timu kubwa hazikuwahi kumtaka kwa sababu walijua ni mchezaji ambaye atapozesha mashambulizi wakati timu inataka ushindi.
Angalia hata highlights zake, unaona kabis timu ipo kwenye movement mpira ukifika kwake unapoa, ukishapoa ananyang'anywa na movement ya goli inakufa.
Binafsi namfananisha Okocha na Allan St Maximin wa New Castle, anapenda kuchezea mpira bila kujua anaiziba timu kushinda. Na hua hawajali kama timu inaongozwa au inahitaji ushindi.
Timu yangu Arsenal ilikua na Iwobi mwenye huu mtindo na sasa hivi ina Pepe.
Gaucho ni bora sana.
Hahaha wewe jamaa unafuatilia mpira?Swala Ni Nani alikua anajua kuuchezea Mpira. Sasa kama kuuchezea huko Kuna mchango ama hapana tutajadili siku ingine.
Unamfaham George Wear? Mtu wa kwanza mwenye asili ya africa aliyechukua tuzo ya mchezaji bora wa Dunia?ata ucheze vp ukiwa mweus tu au mwarabu we bac