Wapi Etoo?
Ndo ushangae hapo... jamaa kabugi kwa hilo.
juzi nilimwona makelele pale kwenye bench la PSG nilikumba mengi sana
Dinho kabugi kwenye lipa
sasa? huo ndio mtazamo wake,
Sasa kwa mfano hapo mbele yeye kawaweka Henry, Messi na El-phenomena
Ronaldo de Lima, sasa wewe ulitaka nani atoke hapo ili aingie Etoo? nina
uhakika angembiwa awataje wachezaji ishirini basi Etoo angekwemo lakini
kwa kumi na moja hata mimi simuweki Etoo
He was a game spoiler. Mnapanga mashambuzi fresh jamaa anatibubua.
Nakumbuka kuna mechi moja kati ya Man Utd na Chelsea ambapo kazi ya Rooney ilikuwa ni kula sahani moja na Makelele.
Ndo mechi ambayo niliona Makelele akishindwa kufanya kazi yake. Rooney hakumpa nafasi afagie and that was the talking point of the game. Mwisho Man Utd walishinda goli moja.