Ronaldo akijiunguza na jua kali la LA!

Richard

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2006
Posts
15,692
Reaction score
23,038
Thursday, July 24, 2008


California dreaming:Cristiano Ronaldo akijioka kwenye jua mpaka kuwa unconscious.

Kijana huyu mwenye umri wa miaka 23 amepachikwa jina la 'Crisp-tan Brown-aldo' amekuwa akifaidi vacation mjini Los Angeles.

Amekuwa akifanya ziara katika fukwe mbalimbali duniani kama vile kule Sardinia, Italy, na California.

Ngozi ya Ronaldo inatisha.
 
Naona anataka kufuata nyayo za Becks
 

utafikiri kuku anayerostiwa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…