Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Cristiano Ronaldo, nyota wa Al-Nassr, anamtafuta mzee mmoja aliyeonekana katika video akimtaja kwa hisia, huku akitokwa na machozi.
Katika video hiyo aliyo-post kwenye mtandao wa X (Twitter), Ronaldo ameomba kwa yeyote anayemfahamu mzee huyo amsaidie kumkutanisha naye.
Mzee huyo alionekana akiimba jina la Ronaldo kwa hisia kubwa, leo Oktoba 25 kwenye sare ya bao 3-3 dhidi ya Al-Holud, jambo lililomgusa mchezaji huyo maarufu na ku-post hivi
Katika video hiyo aliyo-post kwenye mtandao wa X (Twitter), Ronaldo ameomba kwa yeyote anayemfahamu mzee huyo amsaidie kumkutanisha naye.
Mzee huyo alionekana akiimba jina la Ronaldo kwa hisia kubwa, leo Oktoba 25 kwenye sare ya bao 3-3 dhidi ya Al-Holud, jambo lililomgusa mchezaji huyo maarufu na ku-post hivi