kipindi ana anza kucheza alimbiwa na nani?Aliambiwa astaafu akajifanya kukaza shingo. Acha adhalilike.
Kwahiyo?
Ana achaje kucheza wakati mpira ndio kazi yake?Aliambiwa astaafu akajifanya kukaza shingo. Acha adhalilike.
Akiamua anaweza mbona. Ana mkwanja wa kutosha kiasi kwamba kwa sasa hategemei soka pekee kuendesha maisha.Ana achaje kucheza wakati mpira ndio kazi yake?