Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Sababu hii mechi ni moja kati ya mechi chache Duniani itakayofatiliwa na watu wengi zaidi ulimwenguni.
Mungu ibariki Simba na Ihefu mbogo maji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh, sisi na Ihefu mke wetu ni mmoja. Sisi ni dugu moya kabisa.Ihefu tena
Hapafai hapaEeeh, sisi na Ihefu mke wetu ni mmoja. Sisi ni dugu moya kabisa.
Sawa Mkuu.Hapafai hapa
Achana na matokoe ya uwanjani yatakuwaje, kitendo cha Uzinduzi wa Michuano mikubwa Africa kufanyika Tanzania na Simba timu kubwa Afrika Mashariki kuwemo ni ushindi tosha kwa Simba na Tanzania kwa ujumla.
Sababu hii mechi ni moja kati ya mechi chache Duniani itakayofatiliwa na watu wengi zaidi ulimwenguni.
Mungu ibariki Simba na Ihefu mbogo maji.
Sir Elton John nae atakuwepo mbele ya luninga yake akiangalia huu mtanange wa majamaa zake...ITAKUWA KABAMBEView attachment 2786301Achana na matokoe ya uwanjani yatakuwaje, kitendo cha Uzinduzi wa Michuano mikubwa Africa kufanyika Tanzania na Simba timu kubwa Afrika Mashariki kuwemo ni ushindi tosha kwa Simba na Tanzania kwa ujumla.
Sababu hii mechi ni moja kati ya mechi chache Duniani itakayofatiliwa na watu wengi zaidi ulimwenguni.
Mungu ibariki Simba na Ihefu mbogo maji.
Ihefu wamealikwa pia,wazee wa kuheshimisha mkoa wa Mbeya.Sisi mashabiki wa ihefu tunashukuru kaka.mnatupa heshima kubwa kaka zetu simba mungu awabariki sana.mpate ushindi mbele ya utopolo C Al ahly.
Ndio Ihefu tu wamealikwa kwenye shughuli ya Dunia pale kwa Mkapa.Ihefu tena
😂 😂 😂 😂 😂 😂View attachment 2786301Achana na matokoe ya uwanjani yatakuwaje, kitendo cha Uzinduzi wa Michuano mikubwa Africa kufanyika Tanzania na Simba timu kubwa Afrika Mashariki kuwemo ni ushindi tosha kwa Simba na Tanzania kwa ujumla.
Sababu hii mechi ni moja kati ya mechi chache Duniani itakayofatiliwa na watu wengi zaidi ulimwenguni.
Mungu ibariki Simba na Ihefu mbogo maji.
ID yako inashabihiana na kushangilia mbumbumbu FCSisi mashabiki wa ihefu tunashukuru kaka.mnatupa heshima kubwa kaka zetu simba mungu awabariki sana.mpate ushindi mbele ya utopolo C Al ahly.
HAWANA BAYAIhefu wamealikwa pia,wazee wa kuheshimisha mkoa wa Mbeya.