Ronaldo atengeneza Tsh. Bilioni 2 kwa kila post ya udhamini (Instagram)

Inasikitisha sana kina barbosa, jingalao, bia yetu na MATAGA wengine wanavyokutana na changamoto za kejeli na dhihaka zisizomithilika kutoka kwa makanda halafu wanaambulia buku saba tu. Kweli Life Is Not Fair.
 
daaah nipo zangu geto nime bet nikapigwa za uso, daaaaaah ila maisha hayajawahi kua fair
 
Hapo napata picha CR7 ni brand kubwa kuliko Juventus.
yani Ronaldo anaibeba Juve.
Uko sahihi mkuu, kabla Ronaldo hajajiunga na juventus social media za juventus zilikuwa kawaida sana, wakati Ronaldo anaenda juve instagram walikuwa na followers 9mil leo hii Wana 45mil, Facebook wameongozeka watu 8mil, YouTube account wameongozeka watu 3m, na yeye ndio kafanya ligi ya italia kupanda thamani so ata haki za matangazo bei imepanda, hivo kaongeza thamani ya ligi

Cha ajabu kabisa yani mauzo ya jezi kwa club ya juventus ndani ya mwaka, yani jezi zote yalipitwa ndani ya masaa 48 na mauzo ya jezi tu ya Ronaldo, kwahiyo juventus achilia mbali mafanikio ambayo Ronaldo analeta uwanjani ila move yake ilikaa kibiashara zaidi, jamaa wameingiza pesa nyingi sana ndani ya kipindi kifupi, bahati mbaya tu mwaka jana mambo ya Corona ila wangepiga pesa zaidi, Ronaldo ni complete package ya neno brand
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…