Pele mashine tofautisha zama alizocheza na za Leo pia hakuchezs ulaya hivyo angepataje balondor?Kabisa mkuu, sijaona pele aliporuka 2.6 wansema amefanya amefanya wapi ila hatuoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pele mashine tofautisha zama alizocheza na za Leo pia hakuchezs ulaya hivyo angepataje balondor?hajafikixh hata ballon'dor 3,,,anakuaj? Zaidi ya Messi na Cr7
Kila zama na kitabu chake, kama mtu kafanya jambo leo liheshimike leo, sio mtu anaanza oooh zamani tayari ilishafanyika. Kama walishafanya zamani leo mpir unachezewa nn? Ni vizuri kufurahia kila zama na mambo yake.Pele mashine tofautisha zama alizocheza na za Leo pia hakuchezs ulaya hivyo angepataje balondor?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa analofanya jamaa kumfananisha Pele na hawa wa kizazi cha Leo kisa balondor ambazo wanapewa wachezaji wa ulaya tuKila zama na kitabu chake, kama mtu kafanya jambo leo liheshimike leo, sio mtu anaanza oooh zamani tayari ilishafanyika. Kama walishafanya zamani leo mpir unachezewa nn? Ni vizuri kufurahia kila zama na mambo yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Johan crufy yupo wapHivy hivy,,, coz, Pele hamfikii hata Johan cruijf
Safi sana...Jamaa atajituma saaaaaana..Cristiano Ronaldo added to his highlight reel with a leap out of the NBA playbook and a stunning header that helped Juventus sink Sampdoria.
View attachment 1296762View attachment 1296764
Cristiano Ronaldo amefunga bao la aina yake baada ya kuruka kwa umbali wa mita 2.6 kwenda juu katika mchezo ambao Juventus ilishinda mabao 2-1 dhidi ya Samdoria. Bao hio la Ronaldo limekuwa gumzo duniani kote kutokana na uwezo wa kuruka juu na kufikia mpira.
,,,Unamjua immobile kwan?17th goal.CR7View attachment 1336373
Nimekuja faster kusoma comment yako nikijua nitakuta umeandikwa kwamba hii ilishatabiriwa kwenye kile kitabu na yule...
mipira kama hiyo yule kirikuu anatia mikono
kaka mkubwa punguza uchochezi, Tume ipo hai
Yule kulee naye alikuwepokaka mkubwa punguza uchochezi, Tume ipo hai