Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Uarabuni ambako hata mimi naweza kucheka?Subiri timu Messi waje kuchafua uzi
Aahaaaa
Hilo haliwezekani, na kesho nastake hela ndefu upande wa Simba SC.Kesho makolo yanakufa
Utacheza namba ngapi!?Uarabuni ambako hata mimi naweza kucheka?
Usipotee hewaniHilo haliwezekani, na kesho nastake hela ndefu upande wa Simba SC.
Ndo ushangae na wewe,kombe la Uarabuni ndo takataka gani sijui!Yaani wakati Messi ananyanyua kombe la dunia, Ronaldo ananyanyua kombe la kuku huko uarabuni!
Life is not fair.
Uarabuni unaweza kucheza namba yoyote ukafit vizuri tu. Kule wanaendaga wachezaji desperate kabisa wasiowaza future yao kwenye career yao.Utacheza namba ngapi!?
Inaumiza sana yaaniYaani wakati Messi ananyanyua kombe la dunia, Ronaldo ananyanyua kombe la kuku huko uarabuni!
Life is not fair.
Mwanangu usijaribu kufanya hivyo kwa simba hii ya cf ya Bocco, utaokota makopo muda siyo mrefu.Hilo haliwezekani, na kesho nastake hela ndefu upande wa Simba SC.
Sasa Kwan wewe uwezi kucheka hata hapo kenyaUarabuni ambako hata mimi naweza kucheka?
Hilo bango linasema uongo, liondowe. Ronaldo hayupo "Falme za Kiarabu". Ronaldo yupo Saudi Arabia.CR7 kuonyesha kuwa aliwapania Al Hilal kwenye Michuano ya King Salman Clubs Cup kawapiga zote mbili mpaka Filimbi ya mwisho Al Nassr wanatawazwa Machampioni.
FT' matokeo katika mchezo huo [emoji116][emoji116]
Al Hilal 1 - 2 Al Nassr
Michael 50' [emoji460]
Ronaldo 74', 98'
Uarabuni unaweza kucheza namba yoyote ukafit vizuri tu. Kule wanaendaga wachezaji desperate kabisa wasiowaza future yao kwenye career yao.
Umeshindwa kuwa mchezaji bora hapo kijijini kwenu utaweza uarabuni Mkuu.Uarabuni ambako hata mimi naweza kucheka?
MLS uilinganishe na Arab League? Pele mwenyewe aliopt kwenda MLS na asingekubali kwenda huko jangwani.na MLS je?