Ronaldo kuikosa mechi dhidi ya Inter Miami

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Taarifa ya Al Nassr imethibitisha kuwa nahodha wa klabu hiyo Cristiano Ronaldo hatokuwa sehemu ya Mchezo siku ya kesho dhidi ya Inter Miami CF.

Sababu iliyowekwa wazi ni kuwa, Staa huyo wa Ureno Jeraha lake limeonekana bado halijapona kikamilifu kama ilivyoarifiwa awali.

Nini maoni yako?
 
Dah,
Team Messi wataona kama wanakimbiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…