Ronaldoooooo......

Technically, sijakuelewa hii mada yako inahusianaje na jukwaa la siasa.
 
Mkuu kwanini wote wamikimbia tuzo wachezaji wa Barcelona?

Hakuna hata mwakilishi wamesusa
Kutofika huko hatuwezi kutafsiri kama ni kukumbia, na pia unatakiwa ujue kuwa hata ingekuwa vipi ni lazima CR7 angebeba hiyo tuzo kutokana na mafanikio aliyoyapata msimu ulioisha..
 
Wewe mshamba una sali imani gani,masikini Mali na akili kama wewe chuki haziepukiki,nikajua ni chuki kwa Lowasa tu,kumbe hata watu wasio na madhara kwenye maisha yako unawachukia?
Simchukii lakini sipendi achukue wakati Ronald bado yupo anatamba asubiri Ronald astaafu.......

Huyu ni hasimu wangu kwenye mpira lazima niseme ukweli.......
 
Wewe mshamba una sali imani gani,masikini Mali na akili kama wewe chuki haziepukiki,nikajua ni chuki kwa Lowasa tu,kumbe hata watu wasio na madhara kwenye maisha yako unawachukia?
Tayari Ronald kachukua hata hivyo [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Kutofika huko hatuwezi kutafsiri kama ni kukumbia, na pia unatakiwa ujue kuwa hata ingekuwa vipi ni lazima CR7 angebeba hiyo tuzo kutokana na mafanikio aliyoyapata msimu ulioisha..
Yes ni kweli naona Ronald kachukua tena...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…