Plot Agent
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 311
- 20
Mapicha Mengi tutajaza Server za Jf, Ukiwa interested nicheki picha utazipata via WhatsappUnahisi picha hiyo imetosheleza kumvuta mteja?
Na tangazo lako nenda katangazie huko huko whatsapMapicha Mengi tutajaza Server za Jf, Ukiwa interested nicheki picha utazipata via Whatsapp
Vipi Mzee Mbona Kama Povu Linakutoka, hizi kazi za Watu Kuwa Mpole Acha Watu Wafanye Kazi Zao.Na tangazo lako nenda katangazie huko huko whatsap
Ipo Chief, njoo uicheki 0675107182Vipi hakuna room moja tu
Bajeti yake ngapi?Ipo Chief, njoo uicheki 0675107182
Kuna Cha Elfu 70 na Laki 1Bajeti yake ngapi?
Picha na wapi?Kuna Cha Elfu 70 na Laki 1
Icho ni Chumba Chief, Siyo nyumba uwe unafikiria Kabla ya KuongeaPicha zako unapiga milango tu mkuu embu tulie upige vizuri hiyo nyumba
Mimi nimeongea saa ngapi boss?Icho ni Chumba Chief, Siyo nyumba uwe unafikiria Kabla ya Kuongea
Mbezi Beach, Maeneo Tangibovu, Makonde na AfrikanaPicha na wapi?