Nipo Main campus Hall V, block H, floor ya 11 kudadesa mwenye pei nimbebe, anatoa pei ya semester na kunkabidhi mikebe mitatu cash... Haraka sana hii ofa n ya muda 2. Usumbufu ctaki.. Nimemaliza yaaan
floor ya 11 huko kaa mwenyewe tu ndugu..wenzio wanaopangwa huko huwa wanatoaga bure rum zao.
washalipa kaka.. Chenji nzuri 2 xo biashara imefungwa pimbi wewe... Tena order nyngi aliyeshnda ka2ma kilo 4.
Mdogo wangu mbona unatukana wakubwa,au unafikir we ndo wa kwanza kupata room.........kuwa na maneno ya busara hakutokupunguzia thamani ya utu wako..
pimbi ni 2c?
Udsm!Udsm!.NDIO habari ya mjiniii.Hongereni kwa kuchaguliwa super university.
Nipo Main campus Hall V, block H, floor ya 11 kudadesa mwenye pei nimbebe, anatoa pei ya semester na kunkabidhi mikebe mitatu cash... Haraka sana hii ofa n ya muda 2. Usumbufu ctaki.. Nimemaliza yaaan
Naomba kuelekezwa ARIS ndo unaingiaje maana kuna Binti kaomba nimuangalizie, ARIS ndo website au ipo kwenye website ya udsm?
Huo uandishi wako tu nishajua upo kwenye kundi gani...la uelewa...
mia. Nicnge chaguliwa hapa ningeghaili mwaka na kuomba upyaaaa... Yaani hapa ni kama home vile,baba -udsm,mama -udsm,dadaz n bradhaz udzm jamani.... Af et me niende Teku nafwaaaa
Google "aris udsm" afu ingia kwenye iyo web...andika reg no...password ni jina la mzazi kwa herufi kubwa..ukiingia nenda kwa accomodation...hongera na all da best