Room za kupanga kwa waliochaguliwa n.i.t

Room za kupanga kwa waliochaguliwa n.i.t

saidry

Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
86
Reaction score
5
habari zenu wadau...nimechaguliwa NIT koz ya logistix n transport mngnt..nipo arusha,nackia kupata hostel chuoni ni ngum xana ukizngatia tumexhaguliwa wengi..so mwny uwezo wa kunisaidia khs upatikanaji wa vyumba vya kupanga naomba tuwasiliane through 0717382652 au 0685645615...asanteni
 
saidry Hauna ndugu kabisa Dar? au hata rafiki? Ila usijali sana coz gharama za vyumba kwenye eneo chuo kilipo c kubwa sana ukilinganisha na Arusha. Kipo hapo Mabibo nyuma ya Manzese.
 
saidry Hauna ndugu kabisa Dar? au hata rafiki? Ila usijali sana coz gharama za vyumba kwenye eneo chuo kilipo c kubwa sana ukilinganisha na Arusha. Kipo hapo Mabibo nyuma ya Manzese.

ndg zetu wa kitanzania c unajua tena cyo wote wanapenda maendeleo....room zina'range kwny amount gn???upatikanaji vp??cna connection
 
ntakusaidia piga namba hii..0715 353489 na mimi nimepata hapo NIT,
 
Back
Top Bottom