"Liverpool wakibeba ubingwa wa uefa wala sio habari, wameshababe mara tano, kubeba ya mara ya 6 kawaida tu maana hakuna anayeshindana nae katika hilo. Tatizo lipo yeye kubeba ubingwa wa ligi, hilo halikubaliki, ni mwiko"[emoji23] Wayne Rooney
Hajitambui huyu kilaza.
awaulize kina Neville, Giggs, nk inavyowauma kuzidiwa na Liverpool kwenye mataji ya Ulaya. wanatamani kubadilishana na yao ya EPL!