Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Mbona wana artificial wrinklesNimeweka picha
KaribuniView attachment 2419522
Hiyo picha ya Rooney, mbona kama ni ya BUGATI?
Rooney Unywaji wa pombe na mademu , Ronaldo a anajitunza Sana huyo jamaa na ana nidhamu na kazi.. Rooney amebak kubwabwaja Tu mtandaoni na tambi lake
Ongezea na hiliRonaldo 1985
Rooney 1987
Naomba kuwasilisha.
PhotoshopJamani khaaaaa nimemuona mwaka juzi yani mara hii kashakua hivyo?