Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Karibu sanaSawa tumeona picha ya maelfu ya wahudhuriaji
Chama ni watuKwa hiyo picha hiyo inaonyesha kuwa hao wataiwezesha Chadema kushika dola sio?
Akili zenu mnazijua wenyewe tu!
Ujue hawa hawjasombwa na maloli!Sawa tumeona picha ya maelfu ya wahudhuriaji
Ama kweli Makonda ni Moto wa kuotea mbali!!Dalili ya Chama cha siasa kinachojiandaa kutwaa madaraka ya Nchi zinajionyesha wazi kabisa , Chama ni watu siyo Chawa
Hebu angalia mkutano huu Maaluma wa Wilaya ya Rorya , Mkoani Mara , Ikumbukwe kwamba Chadema haina wanachama wajinga , wote hawa ni wanachama wenye akili timamu .
Hii ni leo
View attachment 2892240View attachment 2892242View attachment 2892243
Namuona MmawiaDalili ya Chama cha siasa kinachojiandaa kutwaa madaraka ya Nchi zinajionyesha wazi kabisa , Chama ni watu siyo Chawa
Hebu angalia mkutano huu Maaluma wa Wilaya ya Rorya , Mkoani Mara , Ikumbukwe kwamba Chadema haina wanachama wajinga , wote hawa ni wanachama wenye akili timamu .
Hii ni leo
View attachment 2892240View attachment 2892242View attachment 2892243
Hawajitambui hawa bado wamo UTUMWANIKama hizi takataka hapaView attachment 2892573View attachment 2892574
Hebu angalia mkutano huu Maaluma wa Wilaya ya Rorya , Mkoani Mara , Ikumbukwe kwamba Chadema haina wanachama wajinga , wote hawa ni wanachama wenye akili timamuDalili ya Chama cha siasa kinachojiandaa kutwaa madaraka ya Nchi zinajionyesha wazi kabisa , Chama ni watu siyo Chawa
Hebu angalia mkutano huu Maaluma wa Wilaya ya Rorya , Mkoani Mara , Ikumbukwe kwamba Chadema haina wanachama wajinga , wote hawa ni wanachama wenye akili timamu .
Hii ni leo
View attachment 2892240View attachment 2892242View attachment 2892243
ππππKama hizi takataka hapaView attachment 2892573View attachment 2892574