Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Mkazi wa kijji cha Isango wilaya ya Rorya, Maria Marwa (36) amelazwa katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Mara baada ya kudaiwa kukatwa mkono na titi na mumewe.
Mwanamke huyo alipata majeraha hayo baada ya kuibuka ugomvi baina yake na mume wake huku chanzo kikidaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi ambapo mbali na kukatika mkono na titi, amejeruhiwa sehemu mbalimbali za mwili wake.
Akizungumza na Mwananchi akiwa hospitalini leo
Jumanne, Septemba 20, 2022, Maria amesema kuwa tukio hilo lilitokea Septemba 7 saa 3 usiku ambapo mumewe alitaka namba ya mtu aliyempigia simu.
Akimzungumzia mgonjwa huyo, Daktari wa hospitali hiyo, Nurdin Nuru amesema kuwa walilazimika kumkata mkono mwanamke huvo baada va kufika hospitalini hapo akiwa tayari mkono umeharibika.
"Tulimpokea hapa Septemba 8 mkono ukiwa tavari umeharibika huku titi la kushoto likiwa limening'ing'inia na mkono uliharibika" amesema
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Tarime/Rorya, Geofrey Sarakikya amethibitisha kutokea kwa tukio hilo akisema kuwa jeshi la polisi linaendelea kumsaka mwanaume huyo aliyetoroka baada ya kufanya tukio hilo.
Mwananchi
Mwanamke huyo alipata majeraha hayo baada ya kuibuka ugomvi baina yake na mume wake huku chanzo kikidaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi ambapo mbali na kukatika mkono na titi, amejeruhiwa sehemu mbalimbali za mwili wake.
Akizungumza na Mwananchi akiwa hospitalini leo
Jumanne, Septemba 20, 2022, Maria amesema kuwa tukio hilo lilitokea Septemba 7 saa 3 usiku ambapo mumewe alitaka namba ya mtu aliyempigia simu.
Akimzungumzia mgonjwa huyo, Daktari wa hospitali hiyo, Nurdin Nuru amesema kuwa walilazimika kumkata mkono mwanamke huvo baada va kufika hospitalini hapo akiwa tayari mkono umeharibika.
"Tulimpokea hapa Septemba 8 mkono ukiwa tavari umeharibika huku titi la kushoto likiwa limening'ing'inia na mkono uliharibika" amesema
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Tarime/Rorya, Geofrey Sarakikya amethibitisha kutokea kwa tukio hilo akisema kuwa jeshi la polisi linaendelea kumsaka mwanaume huyo aliyetoroka baada ya kufanya tukio hilo.
Mwananchi