Wimbo unaitwaje?Nimesikiliza huu wimbo japo kajaribu kusound kama Nick Minaj au Cardi B lakini kiukweli kujitahidi sana kuflow kizungu ambacho wengi wetu wanashindwa kwani hata wakiandika vizuri mistari ya kimalikia lakini kwenye matamshi kinawapiga chenga.
Hongera Rosa Lee, hii ni ladha mpya mjini.
Wimbo unapatikana kwenye Platforms zote hivyo mkaupakue siyo kila kitu kutafuniwa.
Daaah hivi Arifu unatuchukuliaje aiseee???Shida ya Rosa ree ana ushamba wa kiarusha.
Hapo kati alifululiza manyimbo ya kishamba shamba ya kiarusha huko nikaacha kusikiliza nyimbo zake kabisa.
WapuuziDaaah hivi Arifu unatuchukuliaje aiseee???
Unapenda zipi mkuuShida ya Rosa ree ana ushamba wa kiarusha.
Hapo kati alifululiza manyimbo ya kishamba shamba ya kiarusha huko nikaacha kusikiliza nyimbo zake kabisa.
Sema katoa boko kwenye show ya leo ya serengeti hapo viwanja vya posta kijitonyama.Nimesikiliza huu wimbo japo kajaribu kusound kama Nick Minaj au Cardi B lakini kiukweli kujitahidi sana kuflow kizungu ambacho wengi wetu wanashindwa kwani hata wakiandika vizuri mistari ya kimalikia lakini kwenye matamshi kinawapiga chenga.
Hongera Rosa Lee, hii ni ladha mpya mjini.
Wimbo unapatikana kwenye Platforms zote hivyo mkaupakue siyo kila kitu kutafuniwa.