Rosa ree ni best female hip-hop arts tz since uhuru

Rosa ree ni best female hip-hop arts tz since uhuru

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,600
Reaction score
10,760
Dada ana uthubutu Sana Kwa hilo nampongeza Sana

Itoshe kusema Kwa wanawake wenzake hakuna wa mfikia kina LUNYA, na wadada wengine wajipange kujitosa kumjibu KING KALI ni ushujaa mkubwa Sana

IMG_20230825_130558.jpg
 
Unampongeza kafanya Nini la maana, kufoka kazi kwani, tatizo promo tu, kuimba ndio kazi kufata key.
 
Back
Top Bottom