Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
HakikaUyu anafaa sana ,
Unataka kusemaje mkuuAmeolewa?
Swali lako ni zuri lakini halitajibiwa kwa vile halihusiani na UchaguziAmeolewa?
Nadhani tumsubiri atakapojinadiYapi maoni yake kuhusu ukomo wa madaraka ?😏
Heshma yako mkuuSwali lako ni zuri lakini halitajibiwa kwa vile halihusiani na Uchaguzi
Mpeni Ujumbe wa Kamati Kuu, ni cheo kikubwa sanaHuyu dada anaipenda sn CHADEMA alifaa awe Makamu Mwenyekiti nyuma ya Lisu
Acheni mfumo dume kuna wanawake wanafanya vizuri sn mjumbe hana maamuzi yoyote ndiyo maana Mbowe hataki ambakie kuwa mjumbe pamoja na kwamba watu hawamtaki huku mtaani. Tuwe wakweliMpeni Ujumbe wa Kamati Kuu, ni cheo kikubwa sana
Tunaenda na Lissu! Uchawa bye bye!Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Njombe, Rose Mayemba amejitokeza kugombea nafasi ya Ujumbe wa Kamati Kuu ya Chama.
View attachment 3193087
Hakuna asiyefahamu uwezo wa Dada huyu kwenye uongozi, na inashangaza kwanini hadi leo hakuwa Mjumbe wa Kamati Kuu.
Namtakia Kila la heri.
Labda kwa faida ya WanaJF na wengine kote Duniani, ni kwamba Kamati Kuu ya CHADEMA ndio nguzo kuu ya Chama, hapa ndipo ulipo msingi wa Maamuzi ya Chama, Wajumbe wa Kamati Kuu ndio wanaobeba Uhai wa Chama, Hii siyo nafasi ndogo.
Sijakuelewa, maana yeye ndio kachukua fomu kuomba ujumbe wa kamati kuu, sasa hapa mfumo dume uko wapi?Acheni mfumo dume kuna wanawake wanafanya vizuri sn mjumbe hana maamuzi yoyote ndiyo maana Mbowe hataki ambakie kuwa mjumbe pamoja na kwamba watu hawamtaki huku mtaani. Tuwe wakweli
Hamtaki Wajumbe wa Kamati Kuu?Tunaenda na Lissu! Uchawa bye bye!