Kama hana kosa itajulikana. Mbona unataka kugeuka mahakama?Wewe ndiyo hufai !! Kosa la huyo dada liko wapi ?! .
Police watamharibia mama CV muda usio mrefu
Naona yeye ameamua kupima kina cha maji kwa kutanguliza kichwa badala ya miguu. Vipi anasemaje.. kina kishaanza kuwa kirefu au bado size ya kati?Mwenyekiti wa Bawacha mkoa wa Njombe mh Rose Mayemba ameachiwa kwa dhamana na kutakiwa kuripoti tena ofisini kwa RCO siku ya Jumatatu.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Mkuu, mimi binafsi toka siku ya kwanza sikuwahi kuamini kuwa mama will be any different from her predecessor kwa sababu yeye pia ni zao la uchaguzi wa 2020. In those 100 days of her presidency, she was giving just a palliative care, now we're all in for it. Let's wait for the worstWewe ndiyo hufai !! Kosa la huyo dada liko wapi ?! .
Police watamharibia mama CV muda usio mrefu
Tangu lini kudai KATIBA ya wananchi kukawa chokochoko ?!. Katiba ya 1977 ni dhambi inamfanya Rais kuwa mungumutu asiyehojiwa .Kama hana kosa itajulikana. Mbona unataka kugeuka mahakama?
Ameanza mapema snAkizingua Tutamyoosha kama mtangulizi
Hata Jk hakuwa malaika lakini huwezi kulinganisha na hawa wawiliMwangosi je?
Kudai katiba isiwe sababu ya kutumia lugha ya vitisho na kejeli kwa rais.Tangu lini kudai KATIBA ya wananchi kukawa chokochoko ?!. Katiba ya 1977 ni dhambi inamfanya Rais kuwa mungumutu asiyehojiwa .
Muulize mwenyeweHakuwa tena Rais dhaifu ??
Alikuwa na mapungufu yake lakini siyo kama hawa wawiliHakuiweza kabisa, aliwaua akina Daudi Mwangosi, aliwang'oa kucha na meno akina Ulimboka, akawatoa macho akina Kibanda, sanasana naweza kusema Mwinyi alikuwa vizuri zaidi
OkEndeleeni kupigana na "upepo".....
Kelele zimesaidia snAsante kwa taarifa
Si madikteta nchi ni mali yao binafsiCCM wanataka watu wote 60m tuwe tunakubaliana na chochote wanachokitaka wao, kuhoji ama kudadisi kwao ni kosa.
Okey mkuu