Rose Mayemba, Mwenyekiti CHADEMA Mkoa wa Njombe akamatwa na kuhojiwa na Jeshi la Polisi. Aachiwa kwa dhamana

Kama mbwai na iwe mbwai.
Unamtukana mtu unakula Geda nzuki
Ukidoge Yoko geli ni yako pia
Unamaliziwa na Rear choke
 
The worst ipi
Watu mnapenda kukuza mambo

maandamano na vurugu sijui km kuna mtanzania anapenda
 
Hapa kiss ni lipi?
 

..hiyo inamaanisha ccm ni chama chenye hila na kinachodhulumu haki za wananchi.

..na chama cha aina hiyo hakistahili kupewa dhamana ya kuongoza dola.
 
Ujinga Ujinga Tu,Haya Ndio Mambo Pia Ambayo Yalikuwa Yananiudhi Kutoka Kwa Magufuli, Naona Sasa Yanaanza kujirudia Kwa Huyu Mama.
 
Kama ni kweli kwamba Rais Samia Suluhu Hassan amethubutu kuita madai ya Katiba chokochoko basi moja kwa moja hayo mamlaka aliyopewa na Katiba yanamzidi kimo na huo ndio ukweli.

Kama Polisi wamemkamata huyo mwenyekiti wa Chadema, Rose Mayemba kwa dai kuwa kamkashifu Rais, hao polisi hawajui wajibu wao kwa mwananchi raia wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.

Rais anatakiwa ajitokeze mara moja akemee kitendo hicho cha kukamatwa kwa raia asiye na kosa lolote zaidi ya kutumia haki yake ya maoni aliyopewa na Katiba hiyo hiyo iliyompa Rais mamalaka aliyo nayo.
 
Sasahivi vigeregere havipo?
Situlielewana tumsifie mamayetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…