Rose Muhando atumia madawa ya kulevya


Mungu atusamehe ila msama sio kabisa yupo kimaslahi kabusa na ni kweli ni mtubwa system. ...
Tena ananiboa kwenye uzinduzi anawaleta kina wasira ili kiwe nn?

Bt wametofautiana lini mkuu si alikuwa anamfanyia promo ya uzinduzi mwezi wa 8/9 km sikosei?
 
Labda Kweli Ni Ngoma Na Anajiliwaza Kwa Unga Na Gambe. Kuna Dawa Za Ngoma Zinamaliza Sana Mashavu Na Naonaga Mashavu Ya Rozi Makavuuu.

Na dawa za ngwengwe zipo zinazolevya
 
Naweza kukubali kwa asilimia fulani hii story.
Hii ni kwa sababu rozi ni rafiki mkubwa wa mchungaji mmoja
ambaye yuko kwenye mtandao wa madawa;

Kati ya huo mtandao wengine wameshatimua na kuhamia huko kwa obama
japo kuwa wengine bado wako hapa tz na wako mstari wa mbele kulichunga kundi la BWANA.

Kwa MUNGU wetu ni mwaminifu kuna siku kila kitu kitakuwa hadharani tu.
 

Gwajima?? maana ndiye atwajaye mara kadhaa ..lakini pia mama Mafia Rwakatez pia yumo eti naskia!
 
Mmmmmm Mazito manake unaweza kuzimia ukisikia mambo mengine,huyu mdada asojiangalia na kutengenezamaisha yake
anafanya vitu vya ajabu,mungu atunusuru............

Ukiangalia hata hii video yake mpya anakatika viuno kama ndombolo! atakuwa teja kweli.
 
Ak
Akiuwawa Rose msama atajibia
 
Mleta uz,n mmoja kat ya viaz 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…