Rose Ndauka awatega watu kuchumbiwa

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598


Rose Ndauka amewatega mashabiki wake kwa kutupia picha ya kidole chake chenye pete ya uchumba kwenye mtandao wa Instagram kuashiria kuwa amechumbiwa

“Kweli picha ni yangu, mimi ndiye nimeiweka, kuchumbiwa ni jambo la kheri lakini siwezi
kusema kama tayari au bado, muda ukifika nitawaambia.


Kidole cha Rose Ndauka kikiwa na pete ya uchumba

 

Huyu demu namuelewaga sanaaa...akinipa sikatai
 
Kidole kinenee!!anataka wamwongelee
 
Hayo matangazo ndio huwa yanawaponza si muache watu wayaone wenyewe ! Mfyuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!:A S-coffee:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…