Rose Ndauka hatari sana

em mwenye namba ya hutu dada anisaidie. nimejarib kuziba hisia zangu najidanganya nampenda rose ndauka mpaka nakufwaz wanasema age is just a number waungwana nisaidieni jinsi ya kumpata huyu dada nitoe dukuduku langu la siku nyingi asanteni
Dunia imebadilika sasa hivi mambo hayo yakuomba # huku hayapo nenda insta kama unatumia mtafute insta direct ndo watu wanavyopata watoto wa geti kwa style hiyo ila utamuweza?
 
Una pesa kweli? Unajua wadada wa kingoni wanagarama sana, alafu ni mafundi ile hatar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…