Rose uu wapi?? am missing u!!

Mpwa anamtafuta mke wa mtu kwa spidi ya ajabu sana, ni bure tu? mmmhh hope so!
 

dah sijui umejuaje km napenda i kitu
...just me n u common stil t up.....dah napenda mistari yake....!!!!!!
m here ntakuwekea majan mengine kwenye uji so UTAKUNYWA UJI WA KINGSTONEEEEEEEEEE ....siyo wa kndon tena!!!!!!!
 
sasa si umweleze tu Ras ukweli, ulikuwa wapi jameni?kumbuka tulikuwa busy mimi na wewe kuandaa ule mkutano siku 2 tu!
hizo days nyingine sijui ulikuwa na nani?jitetee

Bacha please! please! wacha kutaka kutuchonganisha aisee, mimi na yeye tumeshibana ati! hata nikimkuta na zile wanaita sijui nini?? na nini?? kwenye mkoba kama ile thread kule ya yule jamaa na mkewe mi namuamini bana!. Big up mama Rose 1980, naziba masikio mimi!:horn:
 
mke wanani?toka uko!!

Yaani unanikana mbele ya umati wote huu, walahi nakwendea kwa sheikh yahaya, utaona lazima leo urudi nyumbani kwangu na ukirudi tu nakulaza miguuni hata uniambieje, sikupi....!!!
 

ziba mwaya
achana na bacha
uyu ni mdukunyuku wangu
yan mtukutyu hatyar na bila kunichokoza siku haikwend unono kwake
nshamzoea so na wewe jaribu kumzoea .....
mwambie alete uyoga wetu...hatuli nyama siye sijui km analijua ilo!!!!!
 

rewind kipande cha Bob, cha Zion Train!!!!!!!!!
 
Yaani unanikana mbele ya umati wote huu, walahi nakwendea kwa sheikh yahaya, utaona lazima leo urudi nyumbani kwangu na ukirudi tu nakulaza miguuni hata uniambieje, sikupi....!!!

hahahahh hahhahhah !
ujanja wa kuninyima huna ma dear
nkitaka utaitoa tu LAKIN NISIPOTAKA HUPAT TU full stop!!!!
vp sasa utakuja kunipik kunipeleka kwa ras?
 
rewind kipande cha Bob, cha Zion Train!!!!!!!!!

ebu rewind kipanade cha bob cha WU CAP FIT.....!!!!!!!
MAYAI YA KENGE USHAYAPATA U UNAMBWELA MBWELA TU MJIN APA?
 
dah sijui umejuaje km napenda i kitu
...just me n u common stil t up.....dah napenda mistari yake....!!!!!!
m here ntakuwekea majan mengine kwenye uji so UTAKUNYWA UJI WA KINGSTONEEEEEEEEEE ....siyo wa kndon tena!!!!!!!
Usijali Laaziz, najua unapenda nini wewe tena, Ntafurahi kupata majani zaidi na zaidi na uji ukiwa wa ulezi itakuwa mswano ile ileeee! hebu kabla haujaisha huo unganisha na huu hapa: NO WOMAN NO CRY!.. Pls fanya hima uniPM ili nijue wapi pa kukupata nisipokuona tena bana, roho isije konda tena...:dance:
 

''Easy skanking''!!!!!!
 
OMG, thanks you are back!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…