Rose Water ni maji yanayo tokana na kuloweka majani ya maua rose katika maji, kinacho patikana hapo hutumiwa kutengeneza Perfume, kuweka kwenye chakula na hata kutumiwa katika urembo. Leo tutaongelea zaidi kwenye urembo
hutumika kama Toner
Rose water inaweza kutumika kutone ngozi yako maana insaidia kupunguza bakteria katika ngozi yako hivyo pia husaidia kuondoa chunusi, inasaidia kuondoa muonekano wa ngozi kuwa na alergy mfano wekundu wa ngozi kwa watu weupe n.k wakati huo huo huipa ngozi yako unyevu na kuituliza ngozi yako. Ukimaliza kusafisha uso wako chukua pamba kidogo iweke rose water na kisha jifute/ paka usoni iwapo una wekundu unaotokana na inflamation(alergy/muitikio wa ngozi) utaona unapotea.
Tunapoongelea toning ni kama hivi, yaani ngozi yako inaenda inalingana na kupata mng’ao
Kutibu nywele
kama una nywele kavu na nyepesi, tumia rose water kuzitibu unacho takiwa kufanya ni baada ya kuosha nywele zako mimina au paka mafuta ya rose water itasaidia kuku conditon nywele zako na kuzing’aza pia una weza kuweka mafuta ya rose water katika shampoo yako ukioshea nywele harufu yake hudumu kwa muda katika nywele na kufanya nywele zako zinukie.
Katika kufanya macho yako yaonekane vizuri
Rose water inasidia kupunguza dark cycles na ile hali ya jicho kuvimba (baggy Eyes) kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kukosa kulala usingizi vizuri. ukichukua pamba yako iliyochovya kwenye rose water itumie kufuta taratibu au kukanda kwa mbali kuzunguka jicho lako baada ya muda jicho linakuwa powa.
Source afroswagga.com