ROse1980

mkonowapaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2010
Posts
1,492
Reaction score
768
huyu dada jamani (kama kweli) mamods naomba mumpe walau kamisheni ( au wee mod nini) maana mda wote npatao upenyo lzm ukute koment zake kwenye thread mbalimbali...najaribu kuifikiria aina ya kazi uifanyayo binti wewe...nyingine hadi saa 7 ucku..hivi umeolewa?asa inakuaje mda huo au ndo unatupia za via mobile web wakat jamaa anamaliza....:caked:
 
Hahahahahahah dah! JF kuna mambo!
 
mbona wengi wanaka sana umemuona rose tu?
 
Jaman kwani JF mwisho wakucomment saa ngapi?
 

JF Senior Expert Member



Join Date : 10th May 2010
Posts : 4,485

Rep Power : 32


Sio kweli mkuu kama ingekuwa kweli usemayo kuanzia May mwaka jana angekuwa amegonga POST kama 10,000
 

Mtumie Invisible sms basi
 

Kumbe kijana unafanya utafiti. Niambie ulianza lini huo utafiti wako ili tujue unachoandika ni kweli?
 


mwache Rose wangu bana,
mbona hivyo weye mkono wa nyau?
Kidume hupendezi kuwa mbea bana......................lol...
angalia utavishwa dela shauri lako!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Rose unastahili pongezi tena sana ila Lizzy kakuzidi.
For sure Lizzy ni peculiar anavyotetea hoja zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…