mkonowapaka JF-Expert Member Joined Feb 19, 2010 Posts 1,492 Reaction score 768 Jul 1, 2011 Thread starter #21 Romance said: unaetakiwa kuzibwa ni wewe na kama ni mkaka sitashanga kwamba umerusha huu uzi kumbe ndio kinachokusumbua. Click to expand... hahaha unaloo
Romance said: unaetakiwa kuzibwa ni wewe na kama ni mkaka sitashanga kwamba umerusha huu uzi kumbe ndio kinachokusumbua. Click to expand... hahaha unaloo
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,009 Reaction score 60,629 Jul 1, 2011 #22 Marytina said: Hata iwaje silali selo natorokaga kwa msaada wa Merytina Click to expand... Ila ukiwa huru kufanya lolote unaenjoy zaidi!
Marytina said: Hata iwaje silali selo natorokaga kwa msaada wa Merytina Click to expand... Ila ukiwa huru kufanya lolote unaenjoy zaidi!
Romance JF-Expert Member Joined Jun 15, 2011 Posts 585 Reaction score 159 Jul 1, 2011 #23 mkonowapaka said: hahaha unaloo Click to expand... ungejibu sentensi nzima ningesema wewe mwanaume kweli hivyo sishangai jibu ulotoa wacha ma GT tufanye kazi yetu.
mkonowapaka said: hahaha unaloo Click to expand... ungejibu sentensi nzima ningesema wewe mwanaume kweli hivyo sishangai jibu ulotoa wacha ma GT tufanye kazi yetu.
Maria Roza JF-Expert Member Joined Apr 1, 2009 Posts 6,803 Reaction score 1,601 Jul 1, 2011 #24 Kuna mkono wa mtu si bure sikumbukwi kabisaa marehemu Yahaya alinisaidia sanaa :bange: