hudhuria mijadala yake na ukipata muda muulize mwenyewe atakueleza...unataka kuoa? ongea naye kama yuko single huenda akakuonea huruma.
Wanawake wa kinyakyusa wa kaliba ya Mwakitwange walioolewa hawafiki 50 Tanzania. Kama unadhani utani kamwoe uone utakavyotoka nduki bila ya kufukuzwa!
hudhuria mijadala yake na ukipata muda muulize mwenyewe atakueleza...unataka kuoa? ongea naye kama yuko single huenda akakuonea huruma.
View attachment 41740View attachment 41741
Picha: Rosemary Mwakitangwe akiwa kwenye moja ya midahalo inayosimamiwa na VOX MEDIA...
Wakuu nimetokea kumkubali huyu mwanamama kwa hasa anapokuwa kwenye ile midahalo ya "THE TANZANIA WE WANT" nataka kujua CV yake na anafanya kazi gani nje ya hii ya midahalo na je ameolewa maana nimeona post moja hapa JF wakisema ni miss...
hahahahahahaha...yuko pouwa sana huyu mama...nilianza kumjua kipindi yuko T-MARC..then nikafanya naye kazi pale New Habari Corp...ana mtoto mmoja kama sikosei..ila anapigika..ukijipanga vzr
ndo alikaribia kuuwa tmarc wakamfukuza...gari ya tmarc dfp inashuttle kwenda kumleta boyfriend dodoma anapiga kazi jtatu alfajiri inamrudisha dodoma..hahaaaa
Wanawake wa kinyakyusa wa kaliba ya Mwakitwange walioolewa hawafiki 50 Tanzania. Kama unadhani utani kamwoe uone utakavyotoka nduki bila ya kufukuzwa!
mhhh, hiyo kiboko, lkn si alikuwa anweka mafuta kwa gharama zake mwenyewe? kumbe anapenda duduz sana, mpaka anaifata dodoma?
Wanawake wa kinyakyusa wa kaliba ya Mwakitwange walioolewa hawafiki 50 Tanzania. Kama unadhani utani kamwoe uone utakavyotoka nduki bila ya kufukuzwa!
huyu dada mi nimeanza kumjua kwenye hi midahalo ila ana mdogo wake anaitwa fedrick mwakitwange aliwahi fanya kazi TCC...wanatoka familia bora sana hawa vijana ndo maana dada anaupeo mkubwa