Ada ya shule rosmini ni sh ngap? na wanayo combination ya ECA? kwa anayejua anifahamishe tafadhali. nina mwanangu ana A ya Commerce na A ya B/keeping na anapenda sana hiyo shule.
ada ya shule rosmini ni sh
ngap? na wanayo combination ya ECA? kwa anayejua anifahamishe tafadhali.
nina mwanangu ana A ya Commerce na A ya B/keeping na anapenda sana hiyo
shule. naomba kuwasilisha
Mkuu SENGATI kwanza hongera na pili kwa harakaharaka naona kama hii shule haina chaguo hilo (ECA); google hiyo shule utapata taarifa hizi kupitia blog yao; The school provides education for students in both Ordinary, and Advanced Levels. In 'O' Level the bias is for Commercial and Science subjects.
For 'A' Level we offer the following combinations;
nakushauri uende mwenyewe hapo shuleni ukaulizie au umtume mtu, kwa hapa kwetu bongo unaweza kukuta wanayo hiyo comb lakini bado hawaja_update taarifa zao kwenye web yao
Yaleyaleee! Kiafrika-afrika. Sidhani kama ukiweka hapa taarifa za ada yao itakuwa muhali. Kwanini hatubadiliki jamani na kuwa wa wazi? Mambo ya kufichaficha hata bei ya bidhaa/huduma zetu hadi lini?
Katika shule nyingi binafsi ada zipo juu sana kuliko maelezo ndio maana fee structure haziwekWi hadharani
Wazazi wanaenda kimyakimya wakimeza maumivu kama wanakeketwa vile. yote kwa sababu shule za umma bure aghali.
ada ya shule rosmini ni sh ngap? na wanayo combination ya ECA? kwa anayejua anifahamishe tafadhali. nina mwanangu ana A ya Commerce na A ya B/keeping na anapenda sana hiyo shule. naomba kuwasilisha