Rostam Aziz ana pesa, ni tajiri namba 1 Bongo, tuache wivu

mashoga ndio matajili wakubwa dunia hii, wakati wacha Mungu ndio mafukara wa kutupwa.
Nimesahau hili!! hao mashoga matajiri, sambamba na ma- CD wanafanya biashara hii! kamwe hawalipi kodi tangu zama, hili linafanikiwa kwa msaada wa kafara za ki- shetani!...nchi ita enda vepi bila pesa ya kulipa kodi??
 
Ni kweli na juzi kanunua shirika la ndege za coastal aviation
 
Hana Cha usmart wowote amenufaika na ufisadi kipindi akiwa kwenye siasa
 
Nikufuatilie chizi bin khayawani? Labda nikufuatilie Milembe.
 

Attachments

  • FB_IMG_1661713953336.jpg
    17.8 KB · Views: 20
Nikufuatilie chizi bin khayawani? Labda nikufuatilie Milembe.
Kuniita chizi ni hoja dhaifu za kushindwa na hoja tunduizi! ndo vilaza weeengi walivyo,chunguza uone...... pale wanapoishiwa hoja! yamkini hata kutumia risasi km jiwe dhidi ya Lisu!! dhidi ya hoja yenye Mashiko! ndo mlivyo!

Lkn pia kwani Milembe si jehanaum?? ile ni hospital ya watu km weye! wagonjwa wanaingia na kutoka pale wanapo pona! au Umekusudia kuropoka tuu hujui unachosema Mkuu!
 
Utajiri.. u will never know whats behind the scene mwana ni mpiga dili tu mwenye konektion za kimataifa... ni mafia kuliko unavyodhani...
Kwa kifupi hakunaga tajiri mzuri.
wana mambo mengi nyumba ya pazia,ukimuona tajiri anagawa pesa mahali basi jua kuna kitu kikubwa ananufaika kupitia hizo hela chache anazogawa
 
Hizo gesi zingekua zinatoka usingemtapeli malkia wa sheba. Aya sasa mpe mtoto wa watu pesa zake
 
Bila shaka wewe ni houseboy wake
 
Halafu ana roho smart ukipambana ukapata connection nae suala la kukusaidia milliono 100 ni jambo la kawaida sana kwake tena anakwambia nisamehe kwa hichi kidogo nilichojaaliwa ndugu yangu
Ngoja nimtafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…