Rostam azizi mchimba madini adhimu (almasi-mwadui) Tanzania.

kweli Rostam ni mchapa kazi na anaweza kuongoza, wana Igunga tutamkumbuka maishani mwetu, jamani tumwombe mungu atupe kiongozi bora na mchapakazi ndan ya chama chetu cha CCM. Hongera Azizi kwa ujasiri ulionao kweli wewe ni dume, achana na wafyata mdomo wa Chadema, Mafisadi wa Kichaga wanaojipenda wenyewe na sio Watanzania wote.
 
kipenda roho!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…