Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 239
- Thread starter
-
- #21
Vyovyote vile kwa rangi yake na alivyo ni muhindi tu, awe mshiha au Mgoha wote ni wahindi, mbona unatetea mafisadi au umelipwa kwa kazi hiyo.
Upuuzi huo, huna hoja! una uhakika gani kuwa Rostam ni fisadi, mafisadi huwaoni mahakamani? unajuwa lakini maana ya ufisadi au unafata mkumbo tu.
Uwongo huu, Rostam si Muhindi for your information!
Well,
Unajua mtuukisha umwa na nyoka kila ukiona mjusi lazima uruke maili mia!
Hawa watu walisha kaa vikao wakabaka uchumi wetu kupitia RICHMOND- DOWANS, KAGODA, n.k, Lazima mtu yeyote ukiwaona wamekaa kikao ujiulize leo watakuja na lipi!
Hawa wezi si wakuacha wakae wapange mipango yao ya kuzidi tuibia eti tunasingizia uhuru wa kukutana! Lazima tule nao sahani moja mguu kwa mguu mkono kwa mkono, tuwabane tena wajue tunafatilia nyendo zao zote na mipango yao ya kiwizi wizi ya kuhujumu uchumi wetu!
Yaani watanzania wote tuamke tule nao sahani moja kila wanako enda tunao mpaka wakose pa kutokea! Itakuwa ni ujinga eti tusiwafatilie ili hali tunajua ni wezi wetu! Tena inabidi tuwabane hata wakienda jificha offshore ka nzi ketu kawaanike ili wajue kwamba 'no longer at is'
Rostam, Lowassa wafumwa kikaoni
- Vyote vyafanyika ofisini kwa bw Edward Lowassa
- Katibu Mkuu CCM, Makamba abainika alikuwepo
- Vilifanyika Alhamisi wiki hii na vingine Jumatatu wiki hii kuanzia saa 4.00 asubuhi
Na Mwandishi Maalum,
Taifa Letu
April 3, 2009
Yule mfanyabiashara mwenye maadili yenye utata, Bw Rostam Aziz wiki hii amekuwa akifanya vikao kadhaa vya faragha na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.
Vikao hivyo ambavyo vinasadikiwa vinahusiana na sakata la kukwama kwa mara nyingine kwa jaribio la kutaka kuiuzia Tanesco mitambo chakavu ya Richmond, vimekuwa vilifanyika ofisini kwa Lowassa, Alpha Cleaners iliyoko eneo la viwanda Mikocheni Jijini Dar es Salaam.
Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kwamba vikao hivyo vilimshirikisha pia Bw Yusuf Makamba.
Baadhi ya mashuhuda wameliambia gazeti hili kwamba vikao vya mikutano kati ya wakubwa hao vimeongezeka mno hasa kwa wiki hii ambapo baada ya gazeti hili kutonywa walipo vigogo hao lilivamia katika ofisi za Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa na kumshuhudia Bwana Rostam Aziz akiingia sehemu hiyo ba gari la kifahari lenye namba za usajili T 347 AJL.
Uchunguzi wetu umebaini kwamba kikao cha kwanza baina ya Lowassa na Rostam kilifanyika Alhamisi wiki iliyopita lakini hapoakuwa na uhakika kama Bw Makamba alikuwepo.
Hata hivyo katika kikao ambacho kimefanyika juzi Jumatatu kuanzia saa nne asubuhi hadi saa tano na dakika 45, makachero wa gazeti hili walimshuhudia Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba akijumuika na Bw Rostam Aziz pamoja na Wziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa…………
Ingekuwa wamekutana saa 4:00 usiku hapo ningekuwa interested but asubuhi tena ndani ya ofisi!! jamani................
Upuuzi huo, huna hoja! una uhakika gani kuwa Rostam ni fisadi, mafisadi huwaoni mahakamani? unajuwa lakini maana ya ufisadi au unafata mkumbo tu.
Naona Rostam ni rafiki yako na inawezekana amekukatia kidogo!Pole.Lakini hata kama hatukwenda mahakamani, kelele zinasaidia kumnyima usingizi!
Mi investment aliyokuwa nayo Tanzania na nchi nyingi duniani inatosha kabisa kumnyima usingizi, na hizi za JF hata sijui kama ana time ya kuziona.
Naona Rostam ni rafiki yako na inawezekana amekukatia kidogo!Pole.Lakini hata kama hatukwenda mahakamani, kelele zinasaidia kumnyima usingizi!