Elections 2010 Rostam mpya azaliwa arusha

nenda kagombee wewe, kwani walipokua wanatangaza mpango wa kura za maoni wewe ulikua wapi?
 
vipi kuhusu weusi wasio wazalendo?
 

Nakuabliana na wewe kuhusu Rakesh wa HakiElimu, wengine ambaye ninamkumbuka kwa karibu ni Prof Shifji, tatizo la wahamiaji wengi kutoka India na Pakstani ni kuwa wanawaangusha wahiaji wazalendo kama Rakesh na Shifji. Kama kweli nyuma yake hana dalili za ubabaishaji na ufisadi basi aungwe mkono lakini kama naye ni miongoni mwa wale wengi basi apingwe kwa nguvu zote
 
Mimi sielewi dini ya wahindi ni ipi? wako wahindi wanaosali makanisani, wapo wahindi wanaoswali misikitini, wapo wahindi wanasali katika mahekalu, dini ya wahindi ni ipi jaman? kuoa ni makubaliano ya muoaji na muolewaji, kwani hakuna wasiokuwa wahindi ambao wameoa wahindi na vice versa? basi chuki zisitufikishe huko jamani,,:mad2::mad2::mad2::mad2:
 
tehe.tehe...tehe.......te....te........teeeee....mafisadi wamenunua wengi sana hapa nchini.....wamenunua mpaka ubongo na akili
nenda kagombee wewe, kwani walipokua wanatangaza mpango wa kura za maoni wewe ulikua wapi?
 
hilo ni swala lingine............tukiwa na weusi mia kati ya sisi watu zaidi ya 40mil. tutaweza kuwadhibiti kuliko kuwa na akina rostam watatu tu
vipi kuhusu weusi wasio wazalendo?
 
kuna umuhimu wa kufika huko...........
 
kwa nini hawagombei kwao...............mara nyingi wanapita kwa kurubuni watz........kwa nini bado hatujafikia hatua ya kuamini kuwa twaweza kujitawala?
 
Mkuu hebu nijuze kidogo huyu jamaa nadhani anaishi karibu na wahindi wa Krishna Seed, Babati vijijini. I will tell you something kama ndo mwenyewe
 
nitashukuru mkuu,kuna haja ya kuwajua hawa jamaa in and out lasivyo tutavuna mabua
Mkuu hebu nijuze kidogo huyu jamaa nadhani anaishi karibu na wahindi wa Krishna Seed, Babati vijijini. I will tell you something kama ndo mwenyewe
 
90% ya uchumi wa tz unamilikiwa na wageni (asia na ulaya).....siamini ni lini tutakuja kumiliki uchumi wetu sisi wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…