Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
-
- #121
No. No. No. No !!! HOJA ZAKO NDIO ZINA AGENDA ZA SIRI NDANI YAKE.... MIMI BADO NAKUHESHIMU SANA.....
KJ.. nilisema "I think".. na wewe ukauliza "how do you know"! you make it too easy its not even fun!
yes I said it! RDC inahusiana na Msabaha, Kikwete, Rostam na familia ya kina Gire ambao ni wachangiaji wa kampeni za uchaguzi CCM (2005). Kupewa kwa mradi wa bomba la mafuta 2005 na miezi michache baadaye mradi wa majenereta ilikuwa ni shukrani ya CCM kwa michango ya kina Gire katika kampeni za Msabaha na Kikwete na pia kama nafasi ya kuvuna walipopanda hasa baada ya JK alipoingia madarakani kumchukua Msabaha na kumuweka kuwa Waziri wa Nishati na Madini.
so, now you know.
I'll take your 'I think' as it shows that you are not sure of what you are talking about. However, you seemed to be very certain in your previous statements, see this one below.
That was then, This is Now..... But where are we now???, Too Close but yet Too far, Too Close But no Cigars....
Cant we collect all these pieces of puzzles and get a picture of someone going LUPANGO??
Kitila is a man!! Tutasema mpaka tutachoka mafisadi wa aina ya Rostam wako wengi hapa nchini, na hatutaweza kuwafanya lolote mpaka Kikwete aamua kufanya jambo.NAONA TATIZO NI RAIS TU HUYU NDIYO ABANWE MPAKA BASI, HAWA WENGINE, HATA ROSTAM AU EL N.K WAKIFUNGWA LEO NA BADO WAKABAKI WENGINE HATUJAFANYA KITU. NAONA KAMA INTELLECTUALS, TUANGALIE SOURCE-MZIZI WA TATIZO TATIZO NI KIKWETEE
Kalenge