"Rot in Hell Charles Njonjo" - Asema Miguna Miguna

"Rot in Hell Charles Njonjo" - Asema Miguna Miguna

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Bwana Charles Njonjo kaaga dunia jana. Hapa ni maoni makali kabisa kumhusu:

Miguna Miguna: The Charles Njonjo I know

Enyi mlioko madarakani mnaojinasibu kuwekwa huko na Mola huku ghiliba zenu zikijulikana, hamna cha kujifunza kabla ya siku zenu?

Kwamba mwendazake hasemwi? Kwamba nyie mmewekwa na Mola?

Nani kasema?

Kwani miparurano hii ya nini?



Nchi si mali yenu binafsi. Heshimuni haki na matakwa halali ya watu.

Tendeni haki mwende zenu.

Safari kuelekea peponi au motoni huanzia hapa hapa.
 
Bwana Charles Njonjo kaaga dunia jana. Hapa ni maoni makali kabisa kumhusu:

Miguna Miguna: The Charles Njonjo I know

Enyi mlioko madarakani mnaojinasibu kuwekwa huko na Mola huku ghiliba zenu zikijulikana, hamna cha kujifunza kabla ya siku zenu?

Kwamba mwendazake hasemwi? Kwamba nyie mmewekwa na Mola?

Nani kasema?

Kwani miparurano hii ya nini?

View attachment 2066901

Nchi si mali yenu binafsi. Heshimuni haki na matakwa halali ya watu.

Tendeni haki mwende zenu.

Safari kuelekea peponi au motoni huanzia hapa hapa.

Duh. This is not real!!!!!!

Guza ulale.

Toba.
 
Back
Top Bottom