Round moja tu ya operation +255 Kanda ya Ziwa imeleta hofu nchini. Je tunarudi tulikotoka?

Round moja tu ya operation +255 Kanda ya Ziwa imeleta hofu nchini. Je tunarudi tulikotoka?

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Kuna kila dadili za kurudi tena kwa siasa za kamata kamata tulizoziona miaka mitano iliyopita.

Sakata la bandari limewapa Chadema wasaa mzuri wa kukutana na wananchi nchi nzima kupitia operation 255 ambayo imeonesha mafanikio makubwa hata kanda ya ziwa ambapo watu walifikiri chama hicho kikuu cha upinzani kisingepata uungwaji mkono.

Inaonekana sasa hofu ya kisiasa imeanza kurudi kati ya watawala na dadili za kukusekana kwa uvumilivu zimeanza kujitokeza taratibu.

Je tutayaona tena ya 2015-2021?
 
Kuna kila dadili za kurudi tena kwa siasa za kamata kamata tulizoziona miaka mitano iliyopita.

Sakata la bandari limewapa Chadema wasaa mzuri wa kukutana na wananchi nchi nzima kupitia operation 255 ambayo imeonesha mafanikio makubwa hata kanda ya ziwa ambapo watu walifikiri chama hicho kikuu cha upinzani kisingepata uungwaji mkono.

Inaonekana sasa hofu ya kisiasa imeanza kurudi kati ya watawala na dadili za kukusekana kwa uvumilivu zimeanza kujitokeza taratibu.

Je tutayaona tena ya 2015-2021?
Nadhani tutayaona ya 2010 - 2015😂
 
Back
Top Bottom