Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Shalom,
Hii kauli imenicost sana kwa baadhi ya mademu. Kuna ile hali unabembeleza demu aje ghetto kisha baada ya Msoto wa kubembeleza demu anakuja.
Kimbembe ni pale amekupa round Moja ya fasta, anaingia bafuni kuoga, huku wewe dudyu ishajaa upepo tena ila anatokea unamdaka ili akupe cha pili demu anakaza ile mbaya anasema anasepa na anasepa kweli. Mademu wa hivyo huwa naachanaga nao mazima.
Baadhi ya mademu hata ghetto hawafikagi akisema anakuja japo anipe kimoja huwa nakataa nawaambia mie sio jogoo kama kimoja basa sitaki.
Acha tuendelee kujipata mwanaume sharti ujitambue.
Ni hayo tu
Wadiz
Hii kauli imenicost sana kwa baadhi ya mademu. Kuna ile hali unabembeleza demu aje ghetto kisha baada ya Msoto wa kubembeleza demu anakuja.
Kimbembe ni pale amekupa round Moja ya fasta, anaingia bafuni kuoga, huku wewe dudyu ishajaa upepo tena ila anatokea unamdaka ili akupe cha pili demu anakaza ile mbaya anasema anasepa na anasepa kweli. Mademu wa hivyo huwa naachanaga nao mazima.
Baadhi ya mademu hata ghetto hawafikagi akisema anakuja japo anipe kimoja huwa nakataa nawaambia mie sio jogoo kama kimoja basa sitaki.
Acha tuendelee kujipata mwanaume sharti ujitambue.
Ni hayo tu
Wadiz