Route ipi ya daladala inalipa kwa Moshi na Arusha

IsaacMruma

New Member
Joined
Sep 30, 2017
Posts
4
Reaction score
2
Habari zenu wapendwa,

Nahitaji ushauri hasa kwa wazoefu au wamiliki wa noah na hiece katika mkoa wa moshi na Arusha je ni root ipi nikiweka hoan au hice bas pesa itakuwa ya uhakika? Maana kuna root ambazo kwakweli ni hasara ila nimeona nitumie fursa hii yamkini nikapatana na watu wanaonufaika na root nzuri.

NAWASILISHA NAOMBEN MAONI NA USHAURI WENU,ASANTE.
 
Kwanza rekebisha: Hakuna mkoa wa Moshi. Kuna mkoa wa Kilimanjaro ambao ndani yake kunapatikana Wilaya ya Moshi. .Haya, tuwasubiri sasa Wataalamu wa hoja yako waje...!
 
Kwanza rekebisha: Hakuna mkoa wa Moshi. Kuna mkoa wa Kilimanjaro ambao ndani yake kunapatikana Wilaya ya Moshi. .Haya, tuwasubiri sasa Wataalamu wa hoja yako waje...!
Njooo moshi---rombo au moshi---mwika
 
Moshi jaribu kwa rombo, au park Kama taxi usubiri wateja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…